WIZARA YA FEDHA YAANDAA WIKI YA HUDUMA ZA FEDHA KITAIFA

Na, Wellu Mtaki, Dodoma Wizara ya fedha na mipango imeandaa wiki ya huduma za fedha kitaifa ambayo lengo lake ni kutoa Elimu kwa wananchi ili kujenga uelewa na weledi katika matumizi sahihi ya fedha lengo likiwa ni kukuza  uchumi na kuondoa umasikini. Kauli hiyo Imetolewa leo November 15  mwaka huu jijini dodoma na kamishina wa