WIZARA YA FEDHA YAANDAA WIKI YA HUDUMA ZA FEDHA KITAIFA
Na, Wellu Mtaki, Dodoma Wizara ya fedha na mipango imeandaa wiki ya huduma za fedha kitaifa ambayo lengo lake ni kutoa Elimu kwa wananchi ili kujenga uelewa na weledi katika matumizi sahihi ya fedha lengo likiwa ni kukuza uchumi na kuondoa umasikini. Kauli hiyo Imetolewa leo November 15 mwaka huu jijini dodoma na kamishina wa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed